dah 6 mzee unauwa labda nikupe premio kwa bei hiyo
...Hii Premio ya 6m iko katika hali gani? ya mwaka gani? unaweza kuweka picha zake hapa??dah 6 mzee unauwa labda nikupe premio kwa bei hiyo
hiyo premio ni ya mwaka 1999 but specs zake hadi nikifika home nitakuchekia pamoja na kukupigia picha.. vp ulikuwa unahitaji boss wangu?...Hii Premio ya 6m iko katika hali gani? ya mwaka gani? unaweza kuweka picha zake hapa??
Mkuu napanda mpaka 7m hapo vipi??
8m vipi hapo......?
Dah mzee kweli kufa kufaana lakn namna hy unakamua sana bob.hata cpati pumzi
.......so deal?
Kwa nini unaiuza?
.......so deal?
nimekwama nataka kumalizia nyumba yangu!