4wd, manual, 5 doors, metalic grey, low mileage, serviced regularly by dealer dt dobie tanzania, 4 cylinder, petrol engine, bei 25mil.
Ikiwa wewe hauhitaji kununua gari hii unamjua mtu anahitaji gari kama hii nijulishe baada ya mauzo utapewa kamisheni.asante. Mawasiliano. 0717 114409
4WD, manual, 5 doors, metalic grey, low mileage, serviced regularly by dealer DT DOBIE TANZANIA, 4 cylinder, petrol engine, Bei 25mil.
Ikiwa wewe hauhitaji kununua gari hii unamjua mtu anahitaji gari kama hii nijulishe baada ya mauzo utapewa kamisheni.asante. mawasiliano. 0717 114409
Mkuu hiyo 25M bora kuagiza japan ikifika bongo mpaka iingie barabani inaweza kukucost 8M sasa hiyo 25M unaoa ndogo au??
Nitakuwekea picha kesho
4WD, manual, 5 doors, metalic grey, low mileage, serviced regularly by dealer DT DOBIE TANZANIA, 4 cylinder, petrol engine, Bei 25mil.
Ikiwa wewe hauhitaji kununua gari hii unamjua mtu anahitaji gari kama hii nijulishe baada ya mauzo utapewa kamisheni.asante. mawasiliano. 0717 114409
Kitomai, is it a brand new au umejichanganya? Hiyo bei inatosha kuingiza gari za namna hiyo 2 zenye low milage kama yako kutoka Japan. Au unadhani kamata-kamata ya Interpol itaongeza demand ya gari zinazouzwa Tz?
well, kwa maoni yangu hiyo 25mil inaweza kuwa ghali lakini pia haiwezi kuwa rahisi kiasi cha 8mil. kumbuka hiyo ni gari ya mwaka 2005, ngand vitara....sio za kawaida hizi na hata za kawaida kwa bei hiyo huwezi kupata....mimi ningekuwa tayari kutoa kati ya 15-20M.