Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #161
Ila watu mmetok mbaliYale ni makampuni, Huenda hisa zinakuwa zinauzwa baada ya muda fulani. Hivyo wanunuzi wapya huamua kubadili jina
Na tunaish kuna chalii nimemkuta some where anakula chips nikiangalia simu pembeni yuupo jf nikawa namvizia accoment nijue Id yyake kuja kuangalia ase si ndio wakwaza kukemea wanaume tusile chips ase nimecheka sana sema sitak kumtajaHahaha. Ndio JF.
Ata mimi naona aseElo wai[emoji1787]
Duh ongera sanaNahitimu drs la 7
hahaha nilikuwa boarding toka la tatu ,Kipindi iko ulikuwa unacheza lede ukilud shart la ugolo sio jeupe tenaa
Lile kama calculator au?Namiliki simu yangu ya kwanza Motorola L6 chapati
Wanani tena mkuu
Hapa hapa JF, ikiitwa Jambo Forums2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
π³ Fake id zinaficha mengi ππbasi huwa najua wewe ni mzee flani hivi kumbe toto dogo tuDarasa la sita aisee,
Kumbe wakitambo sanaNilikuwa ICTR miaka hiyo ikiwa Arusha. Those were the days
Mkongwe ila now days uwezi kimbia vizur πππ joke tuHapa hapa JF, ikiitwa Jambo Forums
Pole sana mkuWa ndugu wa karibu
Sina mipesa kiongozi tunaendesha maisha kama wananchi wa kawaida sanaSasaiv tugawane basi mipesa iyo
Tuna kula lini mafao ya NSSFNipo job kitambo
Tulikua wote mwaka mmoja. Nakumbuka walitunga mtihani wa maarifa ya jamii tight sana mwaka ule.Nilikuwa nipo darasa la 7 shule ya msingi Mabibo