2008 Volkswagen Tiguan Track and field

2008 Volkswagen Tiguan Track and field

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Wadau naitaka hii gari.

Mimi ni mpenzi wa SUV.. Yaani gari zingine huwa sitaki kusikia kabisa.

Wenye uzoefu na hii gari. Mnisaidie maswali yafuatayo.

1. Upatikanaji ya Spare zake hapa bongo.
2. Uimara wake hasa kwenye njia za makorongo.


1621425708050.png


1621425803422.png
 
Ni gari nzuri ila kama wewe ni masikini itakupeleka kuwa fukara kwa sababu services yake pamoja na vipuri vyake vipo juu kidogo pia inahitaji akili za kutunza gari siyo kama hizi gari fulani mtu ananunua gari hajui hata specifications za engine oil viscosity na anakuwa anaweka oil anayojisikia yeye,kwa gari hii unaua engine fasta sana.
 
Ni gari nzuri ila kama wewe ni masikini itakupeleka kuwa fukara kwa sababu services yake pamoja na vipuri vyake vipo juu kidogo pia inahitaji akili za kutunza gari siyo kama hizi gari fulani mtu ananunua gari hajui hata specifications za engine oil viscosity na anakuwa anaweka oil anayojisikia yeye,kwa gari hii unaua engine fasta sana.
Mm nadhani hamna gari mbovu wabovu ni wamiliki kwa maana ya kitofata masharti yake pamoja na kutoangalia alama za kutoa alarm

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom