Kwa wafuatiliaji wa WC ya mwaka huu watakubaliana na wachambuzi mbalimbali wa soka duniani kuwa haya ndiyo mashindano yaliyotia fora kwa kiwango duni kati ya mashindano matano (au zaidi), ya miaka ya karibuni. Ndiyo mashindano ambayo waamuzi ama kwa makusudi au kwa ufinyu wa ujuzi wameboronga zaiai, na ndiyo mashindano yaliyoongoza kwa kuwa na warusha maonyesho ya TV wenye viwango duni zaidi hata ikilinganishwa na ligi za mataifa kadhaa... It is so sad!!!!!!!!!!
Mkuu naomba nikupinge sana tu!!!
hatuwezi ku-generalise kwamba kiwango cha weldi kapu kimeisha wakati ndio kwanza tuko half way!!! judgement ya kwamba ni mbaya inategemea factors nyingi sana, kuanzia maandalizi, ulinzi ubora wa mechi, vitendea kazi, timu zenyewe na hata broadcasting
so far ukiondoa controversies za refariis, mengine yako better sana [labda na mavuzizela ambayo siyapendi]. in fact hata group stages zimetoa very good indication kwamba its no longer a walk over weldi kapu kama miaka ya nyuma... tumeona new zealand, australia, sauzi afrika, slovakia, serbia, uswisi wakitoa kamasi magwiji... tumeona england, italy na france wakiangukia pua... tumekumbushwa na kameruni na naijeria kwamba jina is nothing in modern soccer...KWANGU MIMI NAAMINI HIZI NDIZO CHACHANDU ZA WELDI KAPU
Weldi kapu hii imenoga na inaonyesha sasa power ya modern soccer inavyoswihi, angalia tactics --- u miss your opponent plan umepigwa kitu
Naamini mleta mada umechagua baadhi ya vigezo na kuweka hapa... mimi nashauri tuendelee kuiangalia na mwisho ndio tuhukumu
btw, usitegemee western media wakaisifia saaana african weldi kapu, kumbuka waingereza walishaanza zamamni sana kuipiga vita nk.
hayo ya refa ni mapungufu na rest assured kila anayeboronga anastahili teh next plane out!!!