2011 will be a unique year

sasa hapo maalim, hiyo itakuwa inatafsiri nini?.......happy new year my boy Finest

Usiogope da Preta, Think big hayo mambo achana nayo :hungry: yasipotokea wanabadili lugha ikibidi majina k.m Mziray n.k
 
Paka mweusi,hajanifukuza atii ameogopa n,siendelee kutafsiri.
Naww na kupa 5 maana ndie ulie nihamasisha kidogo niwape mambo...rejea thread yako...!




Sawa baba nimekusikia naomba na mimi unitabirie mwaka huu unaokuja utakuwaje nimezaliwa tarehe 19/1/
 
@Vespa... thanks dude... i hope to see the more finest one next eyar... inshallah
 
We maalim peleka utabiri wako kwa sheikh yahaya...acha kuibia watu mkuu..huo ni uwizi wa dhahiri
 
but every year is unique. wish you a happy new year 2011
 
Hakuna jipya labda chadema wangukuwa ndio wameshika serikali ndo tungeona jipya jambo.siku ni zilezile mwaka tu ndo umebadilika
 
kwani Tropical na Elia!
Tatizo lenu ni nini?
Hii ni ilm...haihusishi hapo!
Acha ushabiki...kuna ndugu mmoja nae alisema alidanganywa...hivyo hataki tena utabiri. N'kamjibu😛ale MNH tunasikia madudu ya baadhi ya madaktari...so! Anataka kuwaambia wagonjwa wasiende!!! Acheni hizo...humu wapo Great Thinkers bana! Kama ulidanganywa basi ujue wapo wakweli. Fuatilia makala zangu utaenjoy zaidi!
 
samahani ni Topical.
Paka nweusi usione aibu bora ujue mambo yako...hao wanamchukia mtu...hadi watu wengine!
Soma Gazeti la Mwananchi uk wa Nyota kila siku za wiki utaenjoy.
Tembelea kwenye matangazo madogo madogo...tafuta topic ya ( ijue nyota yako...katika simu yako).
 







Niko nje ya nchi mkuu,naomba unitabirie hapahapa.Gazeti la mwananchi siwezi kulipata.
 
Mama big!
Kawaida tu!
Tena naww niulize tu!.
Happy New Year 2011.
 
Lipo mtandaoni hilo Gazeti...eh nchi gani? Maana nami hua nakuepo nje ya nji hii.
Ingiza maswali humu ( mahjur45@yahoo.com).
Happy new Year 2011!
 
Niko nje ya nchi mkuu,naomba unitabirie hapahapa.Gazeti la mwananchi siwezi kulipata.
Ntakutafutia link yao...kama jamaa wenfine humu naamini linapendwa na wao ..watakuwekea.
Ingiza maswali humu( mahjur45@yahoo.com).
 
the finest una akili sana hii kitu umeiona mwenyewe au umeisoma sehemu?kama ni wewe mwenyewe hongera sana na kwa wataalamu wa namba inawezekana kuna ujumbe hapo.

naona wataalamu wameishaanza kufanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…