2012 African Cup of Nations.

ghana wanacheza fyongo na wanakoswa koswa,,goli
 
its like penati....tony annan anavuja sana kati
 
ghana wanakuwa kama arsenal sasa...
 
kuna mchizi kakaa pembeni yangu ana midadi balaa.....anapiga foul yeye
 
mhh eti asamoag gyan ana miaka 26.......au umri wa paswport huu
 
Poor attack from Guinea...
Keeper takes it.
 
uko jukwaa gani mkuu?
Mi niko media room juu ya VIP hapa...
majukwa yetu haya ya buku buku.....mikelele kibao afu jamaa anshangilia full mate ya beer kunrukia....yellow card kwa gui player
 
majukwa yetu haya ya buku buku.....mikelele kibao afu jamaa anshangilia full mate ya beer kunrukia....yellow card kwa gui player

pole sana.
Shaffih Dauda anaviita vibanda umiza...
 
Corner Guinea...
Diallo heads it,
goalkick.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…