2012 African Cup of Nations.

90+2'
Mweene given the decision as he nudges the ball away his first. Time the real enemy now for Ghana.
 
Itz all over. Zambia 1 -0 Ghana. Gyan tears coming down to his face. Ghana are out.
 
hala la zambia kumbe caf wanaakili kupanga final zambia na cote d'Ivore
 
Its All Over!
Zambia are in the Final!

Zamabia hilo kombe wana gundu nalo Ingeuwa timu nyingine kama ningeria aau camerron imewatoa ningesiitia lakini kwa zambia ka alivyosema katavi labda watatumbukiza mafanikio.

Emmanue mayuka unaweza kukuta ni mnyakyusa huyu lol
 
Zamabia hilo kombe wana gundu nalo Ingeuwa timu nyingine kama ningeria aau camerron imewatoa ningesiitia lakini kwa zambia ka alivyosema katavi labda watatumbukiza mafanikio.

Emmanue mayuka unaweza kukuta ni mnyakyusa huyu lol

kwa hiyo alizamia nini...
 
Tukutane baadae katika ymechi ya nusu fainali nyingine kati ya Mali na kina drogba ivory coast
 
Zambia worked hard for all the good results they got.Thumbs-up 4 Zambia.
 
Mtangazajii mwenzangu rejao huku kwenye afcon sasa wewe uko timu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…