Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Tatizo liko kwa Refa babu.......Hataki Drogba aguswe,akiguswa tu filimbi......Kusema ukweli nimewependa sana Zambia....Wanapiga mpira mzuri sana bila kujali ukubwa wa majina!!
0-0 half time here in libreville!
Tatizo liko kwa Refa babu.......Hataki Drogba aguswe,akiguswa tu filimbi......
Hahaaaa, safi sana, hii ndiyo Bongo bana!! Hata uitangaze vipi Tz nje ya mipaka utaishia kutukanwa, kejeli na kuambiwa huyu sio raia wa Tz...si mnaona Dr Remmy Ongala
"The match is still going on...you have to wait and see
The boys know how to run but don't know how to hide.....
Zambians have done that....."!!!
fikiria zambia ingekuwa ni timu ya afrika magharibi ingekuwaje?
nipe matokeo ya sasa....