Kuna analyst mmoja wa CV yuko Supersport anachekesha sana...Yeye anaamini matokeo yatakuwa Zam 0 - 3 CV!!
Kaulizwa magoli yako wapi hadi sasa??
Kajibu hivi:
Hahahahahahahahhaha!!
Mie nimechoka na watu wa magharibi kila mwaka kuchukua kombe. Acheni leo lije Afrika ya mashariki na kati, tuondoe mkosi!Kila la heri cote
Gervinho 'anao anao' nyingi kweli
Jamaa ni mu Ivory Coast.....Mwanzoni alisema CIV wanashinda 4-0Kuna analyst mmoja wa CV yuko Supersport anachekesha sana...Yeye anaamini matokeo yatakuwa Zam 0 - 3 CV!!
Kaulizwa magoli yako wapi hadi sasa??
Kajibu hivi:
Hahahahahahahahhaha!!
isijafika matutaHafu taimu, milango yote migumu pamoja na ubutu
Jamaa ni mu Ivory Coast.....Mwanzoni alisema CIV wanashinda 4-0
Refa anawapendelea sana hao.....Anapeta faulo na handball za waziwazi.....naona cote wanakuwa mayai kweli..