Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Sep blatter RAIS wa FIFA naye yupo .
Mpira uishe sasa mana naona bp inanipanda! bora dkk 120-, kuliko hizi za majeruhi.
Nadhani utakuwa umekosa mojawapo ya mechi nzuri sana duniani.......Ni fainali nzuri sana hiii
Safi sana Kennedy Mweene
Mpira umekwisha.....Dakika 4 zimeisha tayari
Go Zambia go........MI naona bora iwe penati tu . Too cruel kwa yeyote kufungwa tena kagli kamoja
nini blatter hadi pele ndani..