Habari njema hiyo........Barca hawana chao mwaka huu....
@ sobhuza
Upo? Ulituleta update za michuno hii mwazoni ukapotea ghafla
Bado najiuliza nini kimesababisha Drogba akose penalty?
fabregas atakuwa ana gundu kama ahamia barca wanakosa komber lol Ukiona hivyo jua maneno ya shabiki wa gunners ....CR7 anaipatia real goli la 3 huku yote akiyafunga..
Goal! Real madrid 3-2 levante