2012 kili music awards nominees



yah jamaa wa kili naona hawaingizi nominee mwenye miaka chini ya 18 sababu ya udhamini wa Pombe,
 
mambo ya umri kaka, kisheria za kili pombe kwa watoto no, pia gospel nayo hivyo hivyo. Kuimbia Pombe na Mungu wapi na wapi
 
zinaboa,
hivi wanatumia njia gani ipi ku-nominate wasanii?
 
Yule aliyekwapua tuzo tano mwaka jana(20%) safari hii imekuaje? Au hajafuata masharti yao?
 
Kama tunataka mzik wabongo uendelee.tusiwe naupendeleo kwan kunawasinii wakal ambao wanasitaili kuingzwa kwenye categories mblmbl.nasio kuangalia majinaaa.kama upepooo.niyule toka pand za mwanzamwanza sana88888
 
ivi shughuli ya izi tuzo zinafanyika lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…