Bado tuzo zina kasoro nyingi;
1.Inachekesha msanii chipukiz kumuweka Beatrice,Recho halafu akakosekana dogo Aslay.
2.Lamar kutowekwa kwenye category ya uproducer bora.
3.Mziki wa hiphop kupewa nafasi ndogo,only two categories.
4. Mziki wa Rege kuwekwa kwenye rnb eg Usiniache wa Hemed.