iv mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne akiitaji scholarship inakuwaje?.
yaani namaanisha ataendelea kusoma kidato cha tano au atapelekwa kusoma college moja kwa moja? naomba ushauri juu ya hilo ndugu.
Mkuu, kwa mfumo wa elimu ya Tanzania, ukitaka scholarship lazima uwe umesoma na kumaliza kwa ufaulu mzuri kidato cha sita. Kama siyo hivyo basi ulimaza kidato cha nne ukasoma certificate pamoja na diploma hivyo baada ya hapo unakuwa na sifa ya kujiunga na degree ya kwanza (B.Sc au BA)! Kumbuka kupata scholarship ni mpaka ukidhi masharti ya mtoa scholarship ikiwamo na kiwangi cha elimu!
iv mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne akiitaji scholarship inakuwaje?.
yaani namaanisha ataendelea kusoma kidato cha tano au atapelekwa kusoma college moja kwa moja? naomba ushauri juu ya hilo ndugu.