Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Si mtoto, kijana, si mzee...wote tupo kwenye kipindi cha mpito (transition period), kipindi chenye kila aina ya msoto, funzo na shida za kila aina.
Watu wote kwa kada zote wanalalamika ugumu wa maisha, pesa hakuna, biashara haziendi, familia haziendi na ada za watoto shule zinasumbua mno mpaka watu wamefikia hatua ya kufanya " negotiation " na wenye shule
Tuna miaka 5.5 mbele ya kuendelea kuvumilia.
One day yes!
Tujipe moyo
Wasalaam wanabodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wote kwa kada zote wanalalamika ugumu wa maisha, pesa hakuna, biashara haziendi, familia haziendi na ada za watoto shule zinasumbua mno mpaka watu wamefikia hatua ya kufanya " negotiation " na wenye shule
Tuna miaka 5.5 mbele ya kuendelea kuvumilia.
One day yes!
Tujipe moyo
Wasalaam wanabodi.
Sent using Jamii Forums mobile app