2015-uchaguzi mkuu na hatma ya nchi

Alinda naomba nianza kupongeza magufui KWA USHINDI ALIOPEWA

Maneno yako mazito tayari yapo katika bandiko maalumu 'TATHMINI YA UCHAGUZI WA 2015' Itakayokuwa na maadiko 5 mfululizo na ikijadili haya

1 Upinzani na wapi walikoshindwa kuona goli la mkono '

2. NEC ''ilivyofanikisha'' uchaguzi kwa mwendo wa pole na haraka

3 Uongozi wa Magufuli nchi ikiwa imegawnyika , chuki iikitawala

4.Kifo cha muungano mikononi mwa Magufuli

5 Mengineyo

Inafuata nyuzi mpya hapa duru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…