2016 Ballon d"or..

Ntakuwa kongo asee
Possibiluty ya messi kuchukua ballon d or ni sawa na possibility ya giza kuwepo mchana.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ au brazzaville! Nawaambia mchawi anastahili hiyo tuzo...mchawi kaipeleka tim yake hadi final, uliona alivyowafanya city? Valencia pia uliona? Utamu wa messi haupungui aise.... Ebu niambie kwa portugal nani aliyeipeleka final? Ni nani aliyeipatia ubingwa? Alaf mnasema ni haki yake? Kwa lipi?, Griezmann is better than cr7....All PlayerZ in the world+Coaches=Messi
 
Sasa hapo unatafuta debate isiyo isha na mimi.
Ebu kwanza achana na Ronakdo huyu wa miez hii miwili ya mwisho ,huyu hawez kuchukua kweli
Rudi nyuma kidogo, Ronaldo wa UEFA zote mbili ana stahili
Halafu Ronaldo ndio aliwapeleka final hao portugal.
Kwenye fainali akaumia, sasa kuumia hakumfanyi akose tuzo thats cruel!!!
Kombe la messi la COPA lilikuwa la mapambo, ni kama kuadhimisha mapinduzi hivi, that was nothing serious dude!!
Then kusema griezman ni zaid ya ronaldo, hiyo naiachia akili yako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…