2018 - 2020 World Happiness report: Burundi ina furaha kuliko Tanzania

Duuuuh mwendazake alitupeleka pabaya
 
Namna ya upimaji wa furaha.
Kupima furaha ni rahisi sana mkuu.Nchi ambayo wananchi wake hawana chakula,hawana nyumba za kuishi,hawana nguo za kuvaa,hawana huduma za maji,afya,elimu,barabara,haki za binadamu haziheshimiwi na unaweza kuuawa muda wowote ule kama Kuku kama ilivyo Rwanda na kadhalika hawawezi kuwa na furaha.
 
Duh hadi rwanda kwenye list?
Rwanda under Paul Kagame maisha ya binadamu huwa yapo rehani kama ya Kuku.Kuuawa ni suala la sekunde.Tofauti kati ya Rwanda na Afghanistan ni ndogo sana.
 
Na hizi stori za chanjo ya kovid eti itakuwa lazima, mara eti ina sumaku, mara oooh ndio kiama, mara corona kwenye mask ndio zinazidi kutuongezea majonzi... furaha tutaiona kwenye movie
 
Waandaaji WA hizi wengi Wana agenda zao

Lakini pia if you take wafuasi wa chama Fulani as indicators (because ndio majority wa online Republic ) lazima tuonekane hovyo because wao wanalalamikia kila kitu

Bado kuomba biblia na misahafu mipya Tu na kutaka mungu abadilishwe
 
Hatari sana.

Mwishoe tutaomba mwisho wa dunia ufike.
 
Sasa unataka kulazimisha kuwa nchi kama hii ina furaha?

Badala ya kuficha ujinga wako kwa kukwepa kuchangia mada unajitokeza waziwazi kujitangaza kuwa wewe ni mjinga?Ujinga ni sifa hadi ujitokeze hadharani kujitangaza kuwa wewe ni mjinga?WTF!!!

Nakushauri siku nyingine bakia huko huko mafichoni ili kuficha ujinga wako.
 
Hii nchi wenye hawana furaha ni wapinzani mataga wana enjoy tu[emoji16][emoji16]
 
Mkuu hamia Burundi ukapate furaha kwa nini ujichoshe Bongo hapa? Mwenzio yuko Ubelgiji anatema cheche twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…