Observer
JF HQ
- Oct 18, 2006
- 189
- 299
Wanabodi,
Leo kuanzia saa 12 jioni kwa saa za Africa Mashariki kutakua na tukio la upangaji wa makundi ya timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia itakayofanyika nchini Russia.
Katika michuano hiyo timu 32 zitashiriki kutoka mabara tofauti, huku Africa tukiwakilishwa na nchi tano ambazo ni; Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia.
Je ungependa timu za Africa zipangiwe na timu zipi? na je nafasi ya timu zetu za Africa kufanya vizuri ni ipi?
Nchi gani unanipa nafasi kubwa ya kuchukua kombe hilo?
Timu zilizofanikiwa kungia kwenye michuano hiyo ni:
Kutoka bara la Africa: Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia
Kutoka bara la Asia: Austraria, Iran, Japan, Korea Republic na Saudi Arabia
Kutoka bara la Ulaya: Belgium, Croatia, Denmark, England, France, Germany, Iceland, Poland, Portugal, Russia, Serbia, Spain, Sweden, Switzerland
Kutoka bara North,Central America na Carribean: Costa Rica, Mexico na Panama
Kutoka bara la America Kusini: Argentina, Brazil, Colombia, Peru na Uruguay
Tujumuike kwa pamoja wakati tukifuatilia upangaji huo wa makundi
Updates
Group A: Russia, Uruguay, Egypt, Saudi Arabia
Group B: Portugal, Spain, Iran, Morocco
Group C: France, Peru, Denmark, Australia
Group D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria
Group E: Brazil, Switzerland, Costa Rica, Serbia
Group F: Germany, Mexico, Sweden, Korea Republic
Group G: Belgium, England, Tunisia, Panama
Group F: Poland, Colombia, Senegal, Japan
Leo kuanzia saa 12 jioni kwa saa za Africa Mashariki kutakua na tukio la upangaji wa makundi ya timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia itakayofanyika nchini Russia.
Katika michuano hiyo timu 32 zitashiriki kutoka mabara tofauti, huku Africa tukiwakilishwa na nchi tano ambazo ni; Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia.
Je ungependa timu za Africa zipangiwe na timu zipi? na je nafasi ya timu zetu za Africa kufanya vizuri ni ipi?
Nchi gani unanipa nafasi kubwa ya kuchukua kombe hilo?
Timu zilizofanikiwa kungia kwenye michuano hiyo ni:
Kutoka bara la Africa: Egypt, Morocco, Nigeria, Senegal na Tunisia
Kutoka bara la Asia: Austraria, Iran, Japan, Korea Republic na Saudi Arabia
Kutoka bara la Ulaya: Belgium, Croatia, Denmark, England, France, Germany, Iceland, Poland, Portugal, Russia, Serbia, Spain, Sweden, Switzerland
Kutoka bara North,Central America na Carribean: Costa Rica, Mexico na Panama
Kutoka bara la America Kusini: Argentina, Brazil, Colombia, Peru na Uruguay
Tujumuike kwa pamoja wakati tukifuatilia upangaji huo wa makundi
Updates
Group A: Russia, Uruguay, Egypt, Saudi Arabia
Group B: Portugal, Spain, Iran, Morocco
Group C: France, Peru, Denmark, Australia
Group D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria
Group E: Brazil, Switzerland, Costa Rica, Serbia
Group F: Germany, Mexico, Sweden, Korea Republic
Group G: Belgium, England, Tunisia, Panama
Group F: Poland, Colombia, Senegal, Japan