2018 natangaza vita kali na adui umasikini

Mkuu hakika yoote uliyo yasema ni mema nakuongezea vitu vichache mno lkn ni vya muhimu saana.

1.Linda saana moyo wako maana ndiko zitokako chemi chemi za uzima.moyo wako ukiharibiwa kwa namna yoyote yawe mapenzi,mahusiano ya kazi,mazingira nk.ulio yasema yatakuwa ubatili na kujilisha upepo.

2.Mjue sana Mungu ili uwe na amani.Ayubu 22:21 ndipo mema yatakapo kujilia.

3.Toa mafungu ya kumi kwa uaminifu na wala usindanganye Roho mtakatifu.matendo ya mitume 5:1-10.

4.Imani,weka nia katka vitu au kitu ulichoamua kufanya,kutimiliza na hakikisha kimetimia warumi 10:10.

5.Mungu akusaidie katika hayo uliyo yapanga ili uweze kuacha alama.zaburi 133:3

6.Ukikutana na magumu jitie moyo,jifunge mkanda,mambo mengine hayawezekani kirahisi hivo usogelee kiti cha neema na rehema,uwe unapanda mlimani pale unapoona uzito na kuishiwa nguvu.

NAIWE HIVYO KWAKO SAWASAWA NA IMANI YAKO KATIKA JINANLA YESU ALIE HAI
 

Asante sana. Nimepokea ushauri mubashara. Nitazingatia maneno yako kwa umakini unaostahili.
 
Barikiwa sana mkuu Mungu akusaidie kufanikisha malengo yako
 
Mambo ya New Year resolutions, safi sana Munyazi Mungu akusaidie, me hizi NY resolutions zishanishinda nikipanga Jan ikifika Feb nshatoka nje ya reli.
Sijui ni shetan ametuzidi nguvu, yaan niliwah kupanga mwaka fulani nikilala na wanawake wasizidi 5 ile mwaka unaisha hata simkumbuki nilianza nae january
 
Tuko pamoja kwenye hii vita, naomba wote tufanikiwe
 
Km ww sio action faker, basi umefanya EVENT, karibu sasa ktk PROCESS which is daily life...daily decisions zako...na zukifikishe hapo ulipolenga...all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…