Mimi naona hizi tuzo za Oscar toka nianze kuzifuatilia zinaangalia zaidi uwezo binafsi wa mtu na jinsi alivovaa uhusika zaidi katika filamu fulani...ukiangalia hizi tuzo mara nyingi ndomana hazihusishi au hazinominate filamu za kupigana maana zile ni more acting than reality,kuna uartificial mwingi...