Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Picha linaanza tunampiga Senegal 😂😂😂Mzunguko wa kwanza tu hatoboi, bye bye sitazi.
Sio LIVE... Sema ilijikita...Jana television za taifa zote zilikuwa live kwenye afcon, Zimbabwe, kenya, uganda, Mozambique, rwanda etc, ila tbc yetu pendwa live kuonyesha mafanikio ya kaawamu ketu[emoji16][emoji16]
Mimi tukiweza kupiga pasi 10 kwa pamoja ama tukipata shots on target 2 kwangu utakua ushindi tosha..Picha linaanza tunampiga Senegal [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha, maajabu ya musa na haruni.Picha linaanza tunampiga Senegal [emoji23][emoji23][emoji23]
Ule mpira waliocheza Egypt ukiweka na home advantage waliyonayo ingekuwa Taifa Stars wangebugizwa sio chini ya 5...wa Zimbabwe wazuri wametuzidi sana kiukweli, wamefungwa lakini wamepambana na wanacheza vizuri wana speed na hatari mbele hasa upande wa kushoto. nilikuwa nadhani ndio level zetu lakini baada ya kuwaona turudi labda kwa Namibia na Mauritania
Hongera... Ila huu ni utabiri mwepesi asilimia 80 ya wabashiri watabashiri hvyo....Masahihisho:
Makundi ni 6, yenye timu 4 kila mmoja.
Kila la kheri Taifa Stars.
Huu ndio mkeka wangu kwa timu zitazojongea hatua ya mtoano.View attachment 1130454
Nikiona mechi ya ufunguzi kwa kila timu ni rahisi kubashiri namna hiyo.Hongera... Ila huu ni utabiri mwepesi asilimia 80 ya wabashiri watabashiri hvyo....
Tuwekee timu 4 zitazofika hatua ya mwisho na mbili zenye uhakika wa kubeba kombe.
Binafsi kombe litabebwa na
senegal au south africa.
Sasa hizo ulizozitabiri awali... Mechi zao za ufunguzi uliziona wapi mkuuu zais ya misri na zimbabwe.?????Nikiona mechi ya ufunguzi kwa kila timu ni rahisi kubashiri namna hiyo.
Mpira hauna uelekeo maalum kama upepo, unaweza kugeuka muda wowote kuelekea upande wowote.
Hapo nilitabiri siku uzi huu ulipoanzishwa, kupatia ni probability.Sasa hizo ulizozitabiri awali... Mechi zao za ufunguzi uliziona wapi mkuuu zais ya misri na zimbabwe.?????
wa Zimbabwe wazuri wametuzidi sana kiukweli, wamefungwa lakini wamepambana na wanacheza vizuri wana speed na hatari mbele hasa upande wa kushoto. nilikuwa nadhani ndio level zetu lakini baada ya kuwaona turudi labda kwa Namibia na Mauritania
Ahsante mkuuPlus best loosers yaani mshindi wa tatu mzuri kutoka makundi manne.
Kwa maana hiyo ni kwamba kuna makundi yatatoa timu 3 na mengine 2
Haya mambo yanasikitisha sana kuyasikia.Stars matumaini yapo ya kutosha! Kila laheri Star's
Hizi tunaita gundu! Bundi kashatua hapoHaya mambo yanasikitisha sana kuyasikia. View attachment 1134500
Kama taifa tunashindwa kuwalipa wachezaji dola 300 tu? 75 ni ndogo sana ukichukulia pia pale wapo kazini.Hizi tunaita gundu! Bundi kashatua hapo
Kwani mwenyekiti wa Stars ishinde bwana Daud Albert anasemaje?Binafsi kufuzu tu taifa stars inatosha, kutakacho tokea afukoni ni additional tu.Kwa matokeo yoyote sitaona ajabu ila nitakuwa sapuraizidi Kama tutavuka na kuingia neksti steji