Ila wanatuonyesha soccer la uhakika. Zimbambwe na Uganda mmojawao atafika mbali.Zimbabwe wanafanya makosa ya kijingaa kabisa hapaaa
Wamekosa nafasi mbili za wazi....Ila wanatuonyesha soccer la uhakika. Zimbambwe na Uganda mmojawao atafika mbali.
Ila wanasakata kabumbu bwana. Yaani hii mechi ni kama naangalia France vs Croatia.Wamekosa nafasi mbili za wazi....
Huyu Balliat kapoteza Confidence.. Anaogopa umbo la huyu goalkeeper wa UG.Zahera fc sio promising team kabisa, kuwa shabiki wa UG raha sana.
Timu inacheza tactically, hawapaniki.
Super striker wa Zahera Baliat kabanwa movement zake hazitishi
Ana movement za ajabu na anapopata mipira defender mmoja wa UG anakuwa nyuma yake hana hata nafasi nzuri ya kupiga shuti.Huyu Balliat kapoteza Confidence.. Anaogopa umbo la huyu goalkeeper wa UG.
Kwa mashambulizi haya Zimbambwe watasawazisha.
Sema tenaaaaaaa.Zahera fc sio promising team kabisa, kuwa shabiki wa UG raha sana.
Timu inacheza tactically, hawapaniki.
Super striker wa Zahera Baliat kabanwa movement zake hazitishi
Sikilizia sasaTAYARI
Wamekabia macho tatizo, hata hivyo Billiat anamjua vizuri Onyango anacheza nae ligi moja South Africa.Sema tenaaaaaaa.
Sahau.Baass....
Zimbabwe walihitaji bao moja tu...
Sasa shuhudieni UG anavyochezea
Mimi napenda team zote mbili. Zinaonyesha mashambulizi. Sio unaangalia mpira mashambulizi yapo eneo moja tu la kipper. Zimbambwe vs Uganda the best spectacle ever.Wamekabia macho tatizo, hata hivyo Billiat anamjua vizuri Onyango anacheza nae ligi moja South Africa.
Tunawapiga lingine hawa Zahera ataongea sana leo anapigwa mara mbili Okwi ameanza bado Mo salah
Hamia UG kama unataka raha alafu Quarter final unaweza kufikiria kubadirisha.Mimi napenda team zote mbili. Zinaonyesha mashambulizi. Sio unaangalia mpira mashambulizi yapo eneo moja tu la kipper. Zimbambwe vs Uganda the best spectacle ever.
Mimi siku ya final ndo nitachagua team. Sasa hivi nashuhudia soccer safi. Both,Zimbambwe na Uganda wananikosha.Hamia UG kama unataka raha alafu Quarter final unaweza kufikiria kubadirisha.
Acha bwana Billiat ni moto. Zahera team yake inacheza usiku saa tano. Nahisi leo kina Zahera DRC ndo wanaaga mashindanoBilliat Zahera kafunga mama yangu hatulali leo