Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Ahaha weweee ni me turbo mkeka[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kabisa yaani. Ni mdebwedo sana. Tatizo Africa ukiwa star basi unapewa majukumu hata usiyoyamudu.Mane jamani asipewe penati
😂😂😂Mpaka mwisho Tz ndio timu pekee tutakuwa tumefungwa magoli machache na Senegal
Red alert tayrTuone nani atamchana muhindiView attachment 1147483
Ndio hivyo mkuuRed alert tayr
Morocco
Mods wanilime lifeban kama morocco asipobeba afcon
Vitu kama hivi wewe huvijui tuachie wajuvi.Sadio Mane aache kupiga penalties. Mbaye Niang huwa ni mzuri sana kwa kupiga matuta. Tatizo Mane alitaka afikishe magoli manne. Ubanafsi mbaya jamani.
Naona pilato umekuja kufanya kazi yakoUmetuita ?
Morocco wamebebwa sana.
Wakichezewa foul ndogo tu refa anatoa yellow wakati wao hakuna
Huwa unaangalia ligue 1?Ndo mpigaji penalt no 1 wa Rennes.Vitu kama hivi wewe huvijui tuachie wajuvi.
Niang ni mzuri kwenye aerial balls na si penalties
Morocco ushafeli[emoji3]
Benin kampiga mwarabu aisee.
Tutegemee mengi aisee
Nafahamu ila huwezi kumlinganisha Niang na Mané.Huwa unaangalia ligue 1?Ndo mpigaji penalt no 1 wa Rennes.
Benin ni kiboko ya waarabu kila akikutana nao huwa anawafumua Tunisia wanakumbukaImeniuma sana mkuu Morocco kuondolewa kizembe kabisa na kitim ambacho best looser/ kina point 3 tu 😔😔 dah Ziyech Mpumbavu sana, heri angemuachie mwingine apige sio kwa hofu aliokuwanayo.
Wewe ni Bibi tu umezaa una miaka 35 jumlisha na hiyo kumi.Nina mjukuu JF. Balaa hili. First born wangu ndo kwanza ana 10 yrs. Benin mwisho wao kwa Senegal.
Mane ni mchezaji mzuri. Ila hajui kupiga penalties. Mbaye Niang is more better than Mane when it comes to penalties. 2017 Alikosa penalty dhidi ya Cameroun. Ilikuwa mechi muhimu sana kwenye AFCON.Kocha anatakiwa afanye maamuzi magumu. Mane asipige penalty. Just to let you know yale magoal yake 22 alofunga na Liverpool yana zero penalty.Nafahamu ila huwezi kumlinganisha Niang na Mané.
Niang ametokea Torino kule walimtoa kwa mkopo kwa sababu ya kiwango cha hovyo na amefunga magoli 14 tu Rennes kwenye mashindano yote.
Ligeu 1 ilivyo mrenda kuliko hata HNL y Croatia unafunga goli 14 kwenye mashindano yote hata Samatta ana afadhali.
Sadio mané kafunga goli 22 kwenye Premier league pekee tena kwenye ligi ya nguvu.
Acha ujinga wa kumfananisha Mané na Niang ukome kabisa
Yaani ile penalt angefika,kungekuwa hakuna muda wa nyongeza. USIOMBE KUKOSA PENALT INAYOAMUA HATIMA YENU.