2019 forecast GDP of African countries.

Utawakuta watu wa ufipa wanakwambia rwanda imeipita tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Woooooi [emoji85][emoji85][emoji86]

But wakenya hiyo gdp mlipikia jiko la kuni au mkaa[emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Middle income means you qualify to borrow more loans.
The way you keep saying Kenya is overborrowing, it will be your turn to overborrow. Saa hii, international banks cannot touch you with a 10 foot pole, until you graduate.
 
Utawakuta watu wa ufipa wanakwambia rwanda imeipita tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Woooooi [emoji85][emoji85][emoji86]

But wakenya hiyo gdp mlipikia jiko la kuni au mkaa[emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilipikiwa kwenye jiko la bidii, uchapakazi, ugatuzi na demokrasia ya siasa za maridhiano na sio ubabe wa peni mbili na udikteta uchwara. Shukran.
 
Ilipikiwa kwenye jiko la bidii, uchapakazi, ugatuzi na demokrasia ya siasa za maridhiano na sio ubabe wa peni mbili na udikteta uchwara. Shukran.
Ok ok mlivyopika haikuiva mkaenda kuipasha jiko lingine bado ikawa mbichi mkapika tena[emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]


Ila ethiopia mbona wako hoi hiyo gdp yao haiko sawa

Pia ghana nao hawasomeki kabisa inamaana EA inanafasi ya kutawala africa ikiwa nchi tatu zipi 10 bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda IMF wana customer care, tafuta namba zao za simu.
 
I know your Gdp is bigger than that. Sijui mbona mnaonyesha dunia picha mbaya?Hio 55B dollars nimeanza kuisikia tangu 2015, saa hii tuko 2019 bado mmesimama kwa 55 B dollars. Hakuna vile mtabaki pale pale miaka nenda miaka rudi and yet you are growing at a respectable rate of 6%. Wacheni kupika vitabu. Na kama ni currency, wacheni kumanipulate currency. Mnafanya currency iwe weak ndio Gdp iwe ndogo. Wacheni poverty mentality. Tabia mbaya sana hiyo. Mnastahili kuwa at 70B dollars bila kupika vitabu.
 
[emoji28] tutaipika iwe 99B $

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unadhani 35 billion usd inaokotwa chini..GDP sio cost ya project
 
The funny thing one so called mkikuyu akili timamu will come here to castigate IMF and in another thread he was praising them... once he does that i will shove that thread down his sorry throat.
Mkikuyu is already on record for praising IMF😀😀
Boss these are forecasts of nominal GDP this is not Real Gdp if you understand the technical difference of the 2 terms. And I agree with the IMF forecasts as well as the IMF statement that ksh is overstated by 17.5%.
If you remotely understood what a forecast is you wouldnt have a wank fest here with it
You cannot cherry pick IMF data that pleases your itching ears
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

I guess your low budget is fake too because you want to look poor. This is the most stupid thing I've heard in a while.


The true definition of Being pseudo rich is Like Having Huge budget, Huge Gdp and yet 46% people live below 1$ and Thousands civilians Die of hunger on monthly basis,
Which country is That?
Ni kama vile kuwa na smartphones na kuvaa suti kubwa halafu jioni Unarudi kulala KiBera.
 
Poor ecomomist its just bitter to swallow the fact that the difference between kenya and tz keeps expanding year in year out
 
Naona siku hizi unajielewa. GDP is just the most known not the most accurate measure of an economy. Tanzania my friend is not a joke, GNI is higher than kenya and so is PPP. The only thing that makes their real GDP go down is the value of TZS aganist $$. They are simply cheating their way into growth by avoiding expensive loans and taxes levied to middle income countries
 
Last time I checked, Kenya was doing better than Tanzania on the Global Hunger Index so I don't know what you have in mind when you speak of hunger and dying on a monthly basis.

2018 Global Hunger Index Results - Global, Regional, and National Trends - Global Hunger Index - Official Website of the Peer-Reviewed Publication
 
buda do pp per capita and bring it here..economist mwitu
 
Kwa jinsi tunvyokwenda hata uganda wakianza kunyonya mafuta watatupita, kwa mdomo tutawakaribia nigeria au kuwapita zaidi
 
Watanzania waulize yanga na simba ukiwauliza issue ya ku rebase economy na lini walifanya , utaambiwa wewe siyo mzalendo
 
buda do pp per capita and bring it here..economist mwitu
You are beyond ignorant, Aggregate GDP Data is more accurate as a meesure of an economy than per capita statistics.
Per capita data is only accurate where the economy is inclusive, Tz is the most inclusive economy in Africa, its per capita is most accurate while kenya's the most distorted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…