Ila kuchagua maisha usiyoyaweza kisha kuja kulalamika mitandaoni nayo ni aina flani ya wazimu.Unakosea kusema anaishi maisha ya watu , hayo ndio maisha alochagua regardless anayaaford au la
Kuchagua na kuafford nadhani ni vitu viwili tofauti
siku zote utawanunulia pia,,ni wajibu wako kuhakikisha wanavaa na kupendeza daily,,ila sio fair sikukuu yote hiyo mtoto avae mtumba wa ulomnunulia tandale miezi minee ilopita mkuu,mwache mtoto afurahie sikukuu,,kwa mtoto sikukuu ni kupendeza na kupiga madikodiko hapo home na kuwewa pocket moneySystem ya kuwazoesha watoto eti kuwanunulia nguo ni mpk sikukuu ni ya kishamba sana.
Mbeya mwenge jinsi Kali ya mtumba elfu7 hadi elfu10 na huwezi kuitofautisha na ya dukani,shati LA mtumba LA elfu5 au 6 au 7 Kali km LA dukani achana na mitumba lapulapu ukichukua mtumba quality ni we tu peke yako ndo utakuwa unajua umevaa mtumbaNenda mtumbani suruali mf.12000 ukarekebishe kwa fundi 3000 hadi 5000 au akuharibie kabisa.Hii naongelea maduka ya kawaida sana.Mitumba inaanza kupotea siku hizi na kwa nini uvae mtumba?
Mavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani nimeambulia kadeti moja 28000,shati moja 25,000 na t-shirt mbili za low quality za 20,000 each.Hizi ni nguo za mchina za kawaida sana ukipita wala mtu hageuki eti umependeza.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.
siku zote utawanunulia pia,,ni wajibu wako kuhakikisha wanavaa na kupendeza daily,,ila sio fair sikukuu yote hiyo mtoto avae mtumba wa ulomnunulia tandale miezi minee ilopita mkuu,mwache mtoto afurahie sikukuu,,kwa mtoto sikukuu ni kupendeza na kupiga madikodiko hapo home na kuwewa pocket money
Mavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani nimeambulia kadeti moja 28000,shati moja 25,000 na t-shirt mbili za low quality za 20,000 each.Hizi ni nguo za mchina za kawaida sana ukipita wala mtu hageuki eti umependeza.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.
Maadui watatu-ujinga, maradhi na umasikiniMavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani nimeambulia kadeti moja 28000,shati moja 25,000 na t-shirt mbili za low quality za 20,000 each.Hizi ni nguo za mchina za kawaida sana ukipita wala mtu hageuki eti umependeza.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.
kweli kabisaTena vitoto hata vya miaka miwili kikipendeza kinajijua utakiona kinajishebedua na kufurahi.
Hujaenda karume mkuu ungeondoka na kirobaMavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani nimeambulia kadeti moja 28000,shati moja 25,000 na t-shirt mbili za low quality za 20,000 each.Hizi ni nguo za mchina za kawaida sana ukipita wala mtu hageuki eti umependeza.
Kwa nchi za wenzetu unapozungumzia "Thousands" ni hela nyingi sana.
imagine December sikukuu una watoto watatu tu wanataka nguo za sikukuu na January Ada,mshahara mfano 700,000 bado makato.
Karume mbona ungeondoka na bajaj kwenda nyumbani.
Karume ip?Iyo bei ukute umepigwa cha juu
BTW karume iyo laki ungebeba nguo kama jaba zima na chenji ingebaki