Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ngoja niitafute mkuu na nikiendesha siku moja ntarudi humuAngalia Volkswagen Tourege W12. Ina cylinder 12 na zimekaa W shape. 0 to 60 ni 3Sec. Features zake ni balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehee. Imebidi nicheke. Mpya najua ni kama 47.5% ya CIF. Au ni tofauti?Jiloge hiyo Calculator ni ya Used usije ukaagiza ndinga mpya ikakutokea puani
RS6 ni balaa hiyo makitu...Audi ninazo zitamani ni S10 na Rs6 Avant hii ni ultimate sleeper mambio yake si ya mchezo mchezo aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
. Hata road trips tu zinatushinda. Plans zinagoma.
Ndiyo trend ya gari nyingi. Si umeona hata Volvo gari maarufu kwa muundo wa box, nao wameleta matoleo ya kimayaiyai. Ukianzia na S90 na hata XC90 ya kuanzia 2015.Hata Discovery 5 haijakaa kama 4 au 3.
Napenda gari zenye boxy shape.
Kwanini hawajaretain model yao kama Merc G63 au G65? Ambao wana miaka almost 40 na muonekano uleule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehee! Imebidi nicheke. Last month nilifanya road trip kidogo. Nikiwa kwenye high speed ghafla naona jiwe kubwa mbele yangu nikashindwa kulikwepa. Kilichofuata hapo mmh, ni balaa. Sasa nikabaki najiuliza hilo jiwe lilifikaje hapo?Road trips na barabara zetu hizi? Si kutafuta majanga!!
Kweli. Ni baadhi ndio wameamua kukaza. G wagon kwa mfano. Hata Land Cruiser kidogo halibadiliki saana. Huwezi kutana nalo ukabaki unajiuliza ni gari gani.Ndiyo trend ya gari nyingi. Si umeona hata Volvo gari maarufu kwa muundo wa box, nao wameleta matoleo ya kimayaiyai. Ukianzia na S90 na hata XC90 ya kuanzia 2015.
Mimi ni mpenzi wa Volvo. Sasa XC90 ya kuanzia 2015 utafikiri Audi Q7 au VW TouaregKweli. Ni baadhi ndio wameamua kukaza. G wagon kwa mfano. Hata Land Cruiser kidogo halibadiliki saana. Huwezi kutana nalo ukabaki unajiuliza ni gari gani.
Bana hili dude siku hizi wamelipa sura mbaya pale mbele. Linafanana ngiri sijui. Japo kuna watu wanapenda huo muonekano.View attachment 1096829
Nyie achen tuu
Nafikiri ziko class moja na Q7, hata bei hazipishani saana. Hizo sina tatizo nazo kabisa.Mimi ni mpenzi wa Volvo. Sasa XC90 ya kuanzia 2015 utafikiri Audi Q7 au VW Touareg
Walitakiwa wawe na identity yao ya kudumu.Ndiyo trend ya gari nyingi. Si umeona hata Volvo gari maarufu kwa muundo wa box, nao wameleta matoleo ya kimayaiyai. Ukianzia na S90 na hata XC90 ya kuanzia 2015.
Mchina huyo...Volvo nayo imeshanunuliwa na MchinaWalitakiwa wawe na identity yao ya kudumu.
G wagon inafahamika hata kwa mtoto mdogo.
Aisee kumbeMchina huyo...Volvo nayo imeshanunuliwa na Mchina
Natamani sana kuagiza hii gari Volvo xc60 ila naambiwa spares zake hakuna je ni kweliKwa kweli nimeziendesha aina zote na nimeipenda zaidi XC60 ni economy sana
Halafu ina kitu kimoja cha ajabu sana ukiwa unakata kona na taa zinafuata kama macho kabisa
Na XC90 ni hybrids ukisha charge unaenda mda halafu ukiona umeme unaisha unagusa button na inajijaza
Ila nimeipenda Xc90 ina pilot assist na kwa utundu nikaijaribu ila mwanzo inatisha huwezi amini kama itaenda peke yake
Mkuu kwa kweli Volvo cars waache wajisifie kwa usalama wake
Sent from my SM-G570F using Tapatalk