Usijali mkuu jikune unapojiweza.Kumbe mnanunua magar ili mtongoze wanawake bila kuongea
Madomo zege aisee polen Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Audi wanaiita practical car. Yaani inafaa saana kwa matumizi ya kila siku, ukiacha kina RS.Lakini Audi zipo sana na zinauzikana sana mkuu
A,Q na Rs na S line zimetapakaa sana siku hizi zipo ndogo A1 mpaka A8
Ziko poa sana
Ila kuna gari ilikuwa ya Czech na wamenunua vw inaitwa Skoda ni bei rahisi na ni nzuri sana hata kwa uendeshaji wake
Niliendesha Octavia imetulia sana
Kwa kweli German ni habari nyingine kwa gari zake zote
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Cha mwaka gani? Kama kale ka zamani bora ununue IST tu kwa kweli. Ila siku hizi kidogo wamekapa muonekano mzuri kuliko ule wa model ya kwanza.
Duu! Nimelichungulia kwa mbali. Ngoja nitalifuatilia nilijue.Hahah ni kweli mkuu,nilijashionea mwenyewe.
Hilo linatakiwa Kutoka J2 kwa J2.
By the way ngoja niingize mada isiyohusika,nilikua naangalia mziki wa Jeep Srt8 aisee si wa kitoto mkuu.umeshawahi kuifuatilia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kale kwa model ya kwanza walizingua kwa kweli.
Hapana mkuu mimi Nipo mkoan hiyo supu hata rang yake siijuiUsijali mkuu jikune unapojiweza.
Kama uwezo ni kunywa supu ya pweza.,yote kheri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu! Nimelichungulia kwa mbali. Ngoja nitalifuatilia nilijue.
Hapana mkuu mimi Nipo mkoan hiyo supu hata rang yake siijui
Papuchi ninakula mpaka nazipa likizo ya Siku mbili mbili nisikonde
Yaan hawa wanawake nimewapa ratiba kila mtu na siku zake za kulala nae
Sasa Nyie mnakwama wapi Tanzania yote lami??? Mzee baba ni kuteleza tuu mtwara mpaka bukoba, mwanza Mara, arusha klm wewe tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah nimecheka sana aisee.
Ukisikia car enthusiast unaelewa nini mkuu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni limited edition au ipo kwenye line up ya Jeep ya kawaida?Aisee achana na hii kitu mkuu,mambio yake ni usipime hakuna cha sijui lamborghini wala nini mpk unazionea huruma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehee.Hapana mkuu mimi Nipo mkoan hiyo supu hata rang yake siijui
Papuchi ninakula mpaka nazipa likizo ya Siku mbili mbili nisikonde
Yaan hawa wanawake nimewapa ratiba kila mtu na siku zake za kulala nae
Sasa Nyie mnakwama wapi Tanzania yote lami??? Mzee baba ni kuteleza tuu mtwara mpaka bukoba, mwanza Mara, arusha klm wewe tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwaka jana niliendesha R8 V10 ina button nyekundu kwenye usukani ukibonyeza hiyo huhitaji mziki bali sauti ya exhaust inatoshaAudi ninazo zitamani ni S10 na Rs6 Avant hii ni ultimate sleeper mambio yake si ya mchezo mchezo aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maintenance yake mkuu na thamani piaIla Bongo sijui kwa nini hizi gari ni chache saana.
Safi saana. Hayo madude kuyaendesha au hata kuingia ndani tu, unajisafishia nyota balaa. Huwezi kununua GX110, hata kama itapatikana kwa bei ndogo.Mkuu mwaka jana niliendesha R8 V10 ina button nyekundu kwenye usukani ukibonyeza hiyo huhitaji mziki bali sauti ya exhaust inatosha
Inakimbia haswa ila huku speed limit ndio zinatukomesha
Ingawa kuna sehemu ambayo unaenda kulipia na kuchagua aina ya gari unayotaka na kuiachia unavyotaka
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Lakini mbona jamaa wananunua ma Nissan Patrol na Land Cruisers za kisasa? Au vile hazina reliability issues zana kama hizo?Maintenance yake mkuu na thamani pia
Vipato vidogo na umaskini mkuu
Kama ajira zinalipa wengi wangeweza kununua
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Aisee tofauti kubwa sanaMkuu kwa mfano ukichek audi A8 ya 2018 kodi ya tra ni Tsh.54mil wkt ukuchek S-class ya 2018 inaleta 117mil mkuu.
Na ni kwa gari zote za audi ukilinganisha za same class/year na za bimmer/benz unakuta tofauti ni kubwa tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tofauti ni kubwa sana aise. Maana hizo gari zikiwa mpya, base price zinapishana kidogo saana. Sio kwa kiasi kikubwa hivyo. Sasa sielewi why kodi inakuwa toafuti hivyo.Mkuu kwa mfano ukichek audi A8 ya 2018 kodi ya tra ni Tsh.54mil wkt ukuchek S-class ya 2018 inaleta 117mil mkuu.
Na ni kwa gari zote za audi ukilinganisha za same class/year na za bimmer/benz unakuta tofauti ni kubwa tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana hazina complications nyingi na mawakala wa spare wapo wengi na ni gari zilizokuwepo kwa miaka hukoLakini mbona jamaa wananunua ma Nissan Patrol na Land Cruisers za kisasa? Au vile hazina reliability issues zana kama hizo?
Hii ni kweli. Ndio maana magari ya Japan yamejaa saana Tanzania.Inawezekana hazina complications nyingi na mawakala wa spare wapo wengi na ni gari zilizokuwepo kwa miaka huko
Na hata kuzitengeneza mechanics wanazijua zaidi
Ukiangalia hata Benz ni wachache sana wanaoweza kutengeneza zikiharibika
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kweli yako maana A8 top of the range unapata mpaka kwa £90,000Hiyo tofauti ni kubwa sana aise. Maana hizo gari zikiwa mpya, base price zinapishana kidogo saana. Sio kwa kiasi kikubwa hivyo. Sasa sielewi why kodi inakuwa toafuti hivyo.