johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwaka 2020 utakumbukwa sana katika historia ya bunge kwani katika mkutano mmoja wa bajeti wabunge watatu walifariki.
Rip Dkt. Rwakatale, Rip Ndassa, Rip Dkt. Mahiga
Kadhalika 2020 tumeshuhudia vituko vya kila aina kutoka kwa wabunge wa CHADEMA na hasa Cecil Mwambe, Lijualikali na Halima James Mdee.
Lakini hatutawasahau pia Suzan Maselle, Selasini, Komu, Silinde, na wale waliobatizwa Covid 19.
Spika Job Ndugai naye hatasahaulika kwa usimamizi wake.
Maendeleo hayana vyama!
Rip Dkt. Rwakatale, Rip Ndassa, Rip Dkt. Mahiga
Kadhalika 2020 tumeshuhudia vituko vya kila aina kutoka kwa wabunge wa CHADEMA na hasa Cecil Mwambe, Lijualikali na Halima James Mdee.
Lakini hatutawasahau pia Suzan Maselle, Selasini, Komu, Silinde, na wale waliobatizwa Covid 19.
Spika Job Ndugai naye hatasahaulika kwa usimamizi wake.
Maendeleo hayana vyama!