Uchaguzi 2020 2020 itakuwa nyimbo ipi na sare zipi?

cocochanel

Platinum Member
Joined
Oct 6, 2007
Posts
27,885
Reaction score
76,043
Salamu tele kwenu,

Nikiwa kama mdau wa humu ndani naomba mniambie ni muziki upi unatupeleka kwa Uchaguzi 2020, na pia mavazi yatakuwa ya khanga au vitenge.

Mimi nakumbuka sana ile muziki wa 2015 ilikuwa mtamu sana sana kuburudika. Yule mkaka anakatika sana kwa baada ya kampeni moja na kura mutu tukamchagua. Mnikumbushe basi alivaa rangi gani pia.
Smile 😊

Mwananchi,
Cocochanel
 
Muhamiaji haramu usiyejua lugha ya Kiswahili. Rudini kwenu hatuwataki maana mumetuharibia nchi!
 
Wajipange maana ni haki yao, ila wapiga kura wa upinzani hawana muda wa kushiriki uchaguzi wa kihuni bila tume huru ya uchaguzi.
Msiposhiriki litakiwa jambo jema sana. Hata Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hamkushiriki na maisha yanaenda fresh tu!
 
Nyimbo itakuwa ile ya Harmonize (remix ya Kwangwaru) pamoja na ile ya Baba lao Mond atakuwa ameshafanya remix na kuweka lyrics za chama pendwa.. Sare zitakuwa zile jezi za CCM-mpya.
 
Msiposhiriki litakiwa jambo jema sana. Hata Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hamkushiriki na maisha yanaenda fresh tu!
Serikali za mitaa! Unaelewa kinachoendelea huko na athari zake kwa maendeleo ya nchi? Kama hujui kuwa hakuna ushirikiano wa kutosha na hilo litakwamisha ufanisi kakojoe ulale tuu.
Hii ni sawa na ndoa ya lazima kisha mke anaapa hatakupa unyumba na wewe unajitapa mbele za watu eti umeoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…