Tetesi: 2020 Mahakimu kuzuiwa ku - sign fomu za wapinzani, CCM kupita bila kupingwa nchi nzima

Tetesi: 2020 Mahakimu kuzuiwa ku - sign fomu za wapinzani, CCM kupita bila kupingwa nchi nzima

Duniahadaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
336
Reaction score
677
Imeanza Longido kama pilot (majaribio) na imefanikiwa kwa aslimia 100 baada ya Hakimu kugoma kusign fomu ya mgombea udiwani wa CHADEMA. Kilichofuata ni mgombea wa CCM kutangazwa kupita bila kupingwa na wana CCM na Polepole wao wakashangilia hadi kuchanganyanyikiwa kama mazwazwa.

Hivyo 2020 hakuna uchaguzi maana wagombea wa CCM wa udiwani na ubunge watatangazwa na wasmamizi kuwa wamepita bila kupingwa.

Pia Jaji anaweza naye asikubali kusign fomu za Mgombea urais wa CHADEMA, lakini ata sign za Dovutwa ili kuuhaada ulimwengu kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika. Lakini siku 2 za mwisho atatangaza kuunga mkono Mgombea wa CCM.

Kama haya si kweli nawapa changamto, yule Hakimu wa Longido kachukuliwa hatua gani na mahakama? Jibu unalo- KAPANDISHWA CHEO.

NB: Mahakama sasa ni moja ya jumuiya za CCM kama ilivyo jumuiya ya wazazina UVCCM.
 
ScaredPalatableGar-size_restricted.gif
 
Labda serikali haina pesa zA kuchezea . Yaani mtu anajiuzulu chama A na kujiunga chama B halafu wananchi wanamchagua ( rejea KINONDONI) sasa kuna haja gani ya uchaguzi?
Tz mambo ya demokrasia bado sana. Hivyo ngoja tu tuamuliwe kwanza.
 
Ni hakimu tu kwani? Hata Mawakili ni makamishna wa viapo mbona?
 
Umekuwa msahaulifu sana boss, hukumbuki kuna mgombea ubunge wa CHADEMA alienguliwa kwa ku sign kwa wakili? na mgombea wa CCM alitangazwa mshind kule Mbeyai. Du! kuna watu wasahaulifu kweli!
Ok
 
Kwa mujibu wa sheria ya viapo (The Notaries Public and Commissioner for Oaths Act) inamtambua wakili kama mmoja wa watu wa kushuhudia viapo. Sasa kama huko Mbeya wakili alishuhudia na Tume ikakataa kiapo (kama hakina dosari nyingine za kisheria), mhusika angeweza kuchallenge huo uamuzi kwa mahakama ambayo ndio yenye wajibu wa kutafsiri sheria
 
Umekuwa msahaulifu sana boss, hukumbuki kuna mgombea ubunge wa CHADEMA alienguliwa kwa ku sign kwa wakili? na mgombea wa CCM alitangazwa mshind kule Mbeyai. Du! kuna watu wasahaulifu kweli!
Alikuwa ni Shitambala Sabwee wa Mbeya Mjini. Baadaye akahamia sisiemu
 
Imeanza Longido kama pilot (majaribio) na imefanikiwa kwa aslimia 100 baada ya Hakimu kugoma kusign fomu ya mgombea udiwani wa CHADEMA. Kilichofuata ni mgombea wa CCM kutangazwa kupita bila kupingwa na wana CCM na Polepole wao wakashangilia hadi kuchanganyanyikiwa kama mazwazwa.

Hivyo 2020 hakuna uchaguzi maana wagombea wa CCM wa udiwani na ubunge watatangazwa na wasmamizi kuwa wamepita bila kupingwa.

Pia Jaji anaweza naye asikubali kusign fomu za Mgombea urais wa CHADEMA, lakini ata sign za Dovutwa ili kuuhaada ulimwengu kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika. Lakini siku 2 za mwisho atatangaza kuunga mkono Mgombea wa CCM.

Kama haya si kweli nawapa changamto, yule Hakimu wa Longido kachukuliwa hatua gani na mahakama? Jibu unalo- KAPANDISHWA CHEO.

NB: Mahakama sasa ni moja ya jumuiya za CCM kama ilivyo jumuiya ya wazazina UVCCM.
Imeanza Longido kama pilot (majaribio) na imefanikiwa kwa aslimia 100 baada ya Hakimu kugoma kusign fomu ya mgombea udiwani wa CHADEMA. Kilichofuata ni mgombea wa CCM kutangazwa kupita bila kupingwa na wana CCM na Polepole wao wakashangilia hadi kuchanganyanyikiwa kama mazwazwa.

Hivyo 2020 hakuna uchaguzi maana wagombea wa CCM wa udiwani na ubunge watatangazwa na wasmamizi kuwa wamepita bila kupingwa.

Pia Jaji anaweza naye asikubali kusign fomu za Mgombea urais wa CHADEMA, lakini ata sign za Dovutwa ili kuuhaada ulimwengu kuwa uchaguzi wa Rais unafanyika. Lakini siku 2 za mwisho atatangaza kuunga mkono Mgombea wa CCM.

Kama haya si kweli nawapa changamto, yule Hakimu wa Longido kachukuliwa hatua gani na mahakama? Jibu unalo- KAPANDISHWA CHEO.

NB: Mahakama sasa ni moja ya jumuiya za CCM kama ilivyo jumuiya ya wazazina UVCCM.
Hawawezi kufanya hivi wanaakili pia wanajua kufanya hivi ni kukaribisha Fuji uvunjifu wa amani na machafuko na mwisho uasi kama mdau hapo juu alivyosema

Ila wanaweza kufanya hivyo maeneo machache
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Ni bora wakafuta vyama vyote na tukabakiwa na chama kimoja ambacho hakipendwi ila kulazimisha ushindi kupitia kwa polisi na chaguzi zisizo kuwa uhuru na haki
 
Kwa mujibu wa sheria ya viapo (The Notaries Public and Commissioner for Oaths Act) inamtambua wakili kama mmoja wa watu wa kushuhudia viapo. Sasa kama huko Mbeya wakili alishuhudia na Tume ikakataa kiapo (kama hakina dosari nyingine za kisheria), mhusika angeweza kuchallenge huo uamuzi kwa mahakama ambayo ndio yenye wajibu wa kutafsiri sheria
Umeshaambiwa mahakama imewekwekwa mfukoni na CCM halafu bado unaitaja kama chombo cha kwenda kuchallenge ...acha kujitoa akili
 
Back
Top Bottom