Pre GE2025 2020 sikupiga kura, ila safari hii nitapiga kura

Pre GE2025 2020 sikupiga kura, ila safari hii nitapiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Nimejiridhisha pasina shaka kuwa Rais Samia alikuwa hajajiandaa kuwa amiri jeshi mkuu.

Hivyo wakati wa uchaguzi 2025, nitaungana na Watanganyika wenzangu kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye.

Kwa sababu,

1. Uongozi wake umepwaya ni wa vitisho na mabavu.

2. Utawala wake hauzingatii utawala wa sheria.

3. Hauthamini utu watu anaowaongoza anasema ‘Kifo ni kifo tu’, Ngorongoro nk.

4. Ananyanyasa wapinzani wake wa kisiasa.

5. Ananyanyasa wanaharakati na wakosoaji wa serikali, hapendi kukosolewa.

6. Anafumbia macho utekaji, mauaji yanaendelea nchini

7. Hathamini maliasili za taifa.

8. Hana ABC za uchumi, taarabu na vitu visivyo na msingi ndio kipaumbele kwake.

9. Hana upendo na Watanganyika, na mwisho.

10. Hana tofauti na mtangulizi wake.
 
Ila siasa ni unafiki na kujua kucheza na akili za watu tuu.

Ety leo hii JPM anaonekana bora kuliko samia 😂
 
Wananchi wengi wamejiapiza kufanya hivyo
N furaha yangu kukuona jamvini mana kuna raia walianza kuongea mbovu kuhusu ww.

Kuwa makini mkuu wahuni wasije kukuteka mana mambo yameharibika mno, hakikisha huondoki hapo Matema beach kwenye biashara yako ya uvuvi.
 
20240918_193811.jpg
 
Mimejiridhisha pasina shaka kuwa Rais Samia alikuwa hajajiandaa kuwa amiri jeshi mkuu.

Hivyo wakati wa uchaguzi 2025, nitaungana na Watanganyika wenzangu kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye.

Kwa sababu,

1. Uongozi wake umepwaya ni wa vitisho na mabavu.
2. Utawala wake hauzingatii utawala wa sheria.
3. Hauthamini utu watu anaowaongoza anasema ‘Kifo ni kifo tu’, Ngorongoro nk.
4. Ananyanyasa wapinzani wake wa kisiasa.
5. Ananyanyasa wanaharakati na wakosoaji wa serikali, hapendi kukosolewa.
6. Anafumbia macho utekaji, mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi.
7. Hathamini maliasili za taifa.
8. Hana ABC za uchumi, taarabu na vitu visivyo na msingi ndio kipaumbele kwake.
9. Hana upendo na Watanganyika, na mwisho
10. Hana tofauti na mtangulizi wake.
View attachment 3099987
 
Wananchi wengi wamejiapiza kufanya hivyo
Nilikuwa sijajiandaa kupiga kura ila hotuba yake ya juzi ndiyo imenifanya nimuone kama hajajiandaa kuwatumikia wananchi bali wanaomzunguka imeonyesha rangi zake zote.
 
Back
Top Bottom