Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Wa Senegal mkwapi na wa Misri mkwapi🥳
Dah umenikumbusha mwamba Angelos Charistios kama sijakosea jinaalikuwa namba 9 hatari sana. Jamaa alikuwa mbaya sana.Mbinu hii ya Misri (kupaki basi) na kuelekea Fainali na pengine kutwaa ubingwa inafanana sana na ile waliyoipitia Ugiriki wakati wanatwaa ubingwa wa Euro 2004 pale Ureno
Hatariiii mkuuuDah umenikumbusha mwamba Angelos Charistios kama sijakosea jinaalikuwa namba 9 hatari sana. Jamaa alikuwa mbaya sana.
Natamani sana Senegal wabebe hili kombe
Lakini sasa hawa waarabu bana wakifika hatua hii aisee wanakuaga habari nyingine kabisa