2021 AFCON Special Thread

Gabaski kafanya saves nyingi Sana otherwise Egypt alishakufa half time tu
Hii Mechi viatu vimetembea kinoma

Nimevutiwa Sana na performance ya gueye kajamaa kanaujua Sana pia yule beki wa kushoto Egypt ni moto mkali.

Mwenye tambala kichwani, jamaa ni fire
 
Wakuu,

Kila lenye mwanzo halikosi mwisho, leo tumefikia tamati ya mashindano haya, kwa kumpata bingwa Senegal.

Niwashukuru wote mlioshiriki kwenye uzi huu, mmenogesha sana jukwaa lakini ilitufanya tuendelee kufatilia michuano hii japo mwanzoni ilionekana kama imepooza!

All in all, tuendelee kukutana kwenye nyuzi zetu za michezo hapa hapa JF, mtandao bora kabisaaaa!!

Adios Amigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…