May beMiracles work. Comoros watasonga
Team Cameroon tujuane mapemaaa
Watapita kwa rehema za Mwenyezi Mungu ila kibinadamu itakuwa ngumuMiracles work. Comoros watasonga
Itakuwa bonge la historiaMaraaa paaaap wamepigwqa cameroon
Muangalie kipa role anayoifanya kwa sasa ...gap la mtu mmoja ngumu kuonekanaCOMORO wanapiga mpira wa magogoni utulivu wa hali ya juu
Anacheza kama Ederson wa Man CityMuangalie kipa role anayoifanya kwa sasa ...gap la mtu mmoja ngumu kuonekana
Hii game Comoro anashinda na kombe anapewa leo leoMuangalie kipa role anayoifanya kwa sasa ...gap la mtu mmoja ngumu kuonekana
Mkuu punguza mahabaHii game Comoro anashinda na kombe anapewa leo leo
Kama jana gabon vs bukinabe asee wabukinabe walitepeta sana licha ya kuwa walikuwa 11 gabon wakiwa 10 uwanjaniTim za africa gap la mchezaj mmoja huwa halionekani labda watoke 2