Mbona penati halali kabisa zile wala hamna ubishiRefa mwarabu nikajua atakuwa timamu kumbe nae walewale🚮
Mbona penati halali kabisa zile wala hamna ubishi
Kwa nini sio penati?Ile ya pili hapana
Mbeleko ni nyingiAfcon na fifa
Haya mashindano mwenyeji mechi ya kwanza lazima ashinde bahati mbaya atadroo sijui ndo michongo yenyewe hii
Penati ya kwanza sawa ila ya pili daaahKwa nini sio penati?
Yule aunguissa kaucheza mpira wakati traore kampamia
Nimechoka mtu anatokea Bayern Munich halafu anakaa nje.Choupo Moting ndo anaingia
😂😂lakini kule bayern anakaa mkekaNimechoka mtu anatokea Bayern Munich halafu anakaa nje.
Hatari sana. 🤣 Wakati huku kwetu mara nyingi huwa first eleven ya National Team inaangalia vilabu.
Ndio Mkuu ila ingekuwa Tz tusingejali hilo ujue. 🤣🤣🤣😂😂lakini kule bayern anakaa mkeka
Nakubaliana na ww 😂😂Ndio Mkuu ila ingekuwa Tz tusingejali hilo ujue. 🤣🤣🤣
Ila huyu Captain wa Cameroon ni mchoyo bana.80' Cameroon 2-1 Burkinabe
Anatafuta hat trick kwa nguvuIla huyu Captain wa Cameroon ni mchoyo bana.
Ujue kaikosesha timu yake goli kadhaa.
Home advantage inawasaidiaNapenda fighting spirit ya Cameroon