Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,234
- 2,535
Heri ya mwaka mpya
Kuna siku nilijikuta tu nikasema Embu Leo niweke mkeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashindaaaa hadi sasa nimekosa mara mbil tu (hela niliyoiweka ni ndogo lakini isharudi[emoji1787])
Inahitaji moyo wa ziada
Nimegundua ukiweka mchezo mmoja mmoja Ndio unashinda
Nikishinda 1000, 500 naiweka nyingine naendelea[emoji1787][emoji1787]jana nilishinda 10,770 (ikifika laki 3 naanza kakibiashara flani hivi)
Mods msifute uzi wangu plssss!!
Sijui mpira hata kidogoooo nimebahatisha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nilijikuta tu nikasema Embu Leo niweke mkeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashindaaaa hadi sasa nimekosa mara mbil tu (hela niliyoiweka ni ndogo lakini isharudi[emoji1787])
Inahitaji moyo wa ziada
Nimegundua ukiweka mchezo mmoja mmoja Ndio unashinda
Nikishinda 1000, 500 naiweka nyingine naendelea[emoji1787][emoji1787]jana nilishinda 10,770 (ikifika laki 3 naanza kakibiashara flani hivi)
Mods msifute uzi wangu plssss!!
Sijui mpira hata kidogoooo nimebahatisha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]