Hahaha mrembo pisi kali umenifurahisha na mia nane zako ila hongera big upHeri ya mwaka mpya
Kuna siku nilijikuta tu nikasema Embu Leo niweke mkeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashindaaaa hadi sasa nimekosa mara mbil tu (hela niliyoiweka ni ndogo lakini isharudi[emoji1787])
Inahitaji moyo wa ziada
Nimegundua ukiweka mchezo mmoja mmoja Ndio unashinda
Nikishinda 1000, 500 naiweka nyingine naendelea[emoji1787][emoji1787]jana nilishinda 10,770 (ikifika laki 3 naanza kakibiashara flani hivi)
Mods msifute uzi wangu plssss!!
View attachment 1667832
View attachment 1667833
Sijui mpira hata kidogoooo nimebahatisha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka stake za kutosha uwe na options mbili kama kupigwa au kupiga kisawa sawa.
But Kumbuka Kubet Ambacho Upo Tayari Kukipoteza!
Kuna Dada Mbagala aliwahi baharini Jackpot million 400 ..
Hajawahi chess kabla na hata hajui alichochagua...
Huku Kaka zake wanacheza kila siku hawashindi
Heri ya mwaka mpya
Kuna siku nilijikuta tu nikasema Embu Leo niweke mkeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikashindaaaa hadi sasa nimekosa mara mbil tu (hela niliyoiweka ni ndogo lakini isharudi[emoji1787])
Inahitaji moyo wa ziada
Nimegundua ukiweka mchezo mmoja mmoja Ndio unashinda
Nikishinda 1000, 500 naiweka nyingine naendelea[emoji1787][emoji1787]jana nilishinda 10,770 (ikifika laki 3 naanza kakibiashara flani hivi)
Mods msifute uzi wangu plssss!!
View attachment 1667832
View attachment 1667833
Sijui mpira hata kidogoooo nimebahatisha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
uwapo jf zingatia yafuatayo
uwapo jf zingatia yafuatayo
kanuni ya 1 : usiri
kanuni ya 2 : usiri
kanuni ya 3 : usiri
kanuni ya 4: usimwamini mtu
kanuni ya 5: usiamini kila taarifa
kanuni ya 6: kuwa makini
kanuni ya 7: miliki ID zaidi ya 1
Note: wanawake wa ukweli ukweli waliopo jf ni 17 tu
Ndio[emoji30][emoji30] siku mbili hizi tu