Ngapi hukoo🤨Japan v Germany ngap ngap uko?
😂😂😂Ngapi hukoo🤨
Germany 1-2 Japan
Bonge moja ya comeback
Dakika ya ngapi
Dakika ya ngapi
Germany aliwadharau sana japan ile game german alikua anamaliza first half ila akaishia kupiga mpira wa show tuGermany 1-2 Japan
Bonge moja ya comeback
Hoja uliyoleta ya pili hapa haina mashikoWanaodhaniwa kushinda hawashindi wanaodhaniwa kushindwa wanashinda!
He nchi za kiarabu na pacific (Japan) confidence imeongezeka coz psychologically wanachikulia Qatar as home ground?
Just got the feeling will Arabs countries take Budweiser all beer stock should they win world cup?
2022 Qatar WC, the most dramatic One so far.
Poleni sana wazee wa ku bet.
Hii ndio point kbsaGermany aliwadharau sana japan ile game german alikua anamaliza first half ila akaishia kupiga mpira wa show tu
Ushoga ngoja wakomeGermany nafikiri hata WC iliyopita walitolewa kwenye makundi na safari hii hilo jinamizi linamwandama kwa sababu mechi ijayo na Spain ana shughuli pevu na huenda akafungashiwa virago hapo.
Hilo neno halipaswi kutamkwa mara kwa mara kwa sababu lina ukakasi sana na ni uovu ambao umesambaa hadi hapo ulipo na sio uzunguni tu hadi uko uarabuni japo wanaficha sana watu wa nje wasijue.Ushoga ngoja wakome
Umeanza vizr ila umeshindwa kuelewa mkuu poleHilo neno halipaswi kutamkwa mara kwa mara kwa sababu lina ukakasi sana na ni uovu ambao umesambaa hadi hapo ulipo na sio uzunguni tu hadi uko uarabuni japo wanaficha sana watu wa nje wasijue.
Wewe kutamka hili neno mara kwa mara ni kama unalishabikia vile, very hopeless.