Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,047
- 1,832
Siku ukiibiwa simu ndio utajua kuwa hata huko sio kwema.Mwaka 2023 kama unamalengo ya kufanya jambo lako na lengo lako ni kutumia kibubu kiwe cha bati au cha mbao
Njia salama ya kuhifadhi pesa bila usumbufu ni kufungua accounts zifuatazo
Tigopesa......Kibubu
Airtel Money.....Timiza
M pesa ........M pawa
Hizi accounts zimenifanyia makubwa sana. Kila siku nilikua nahakikisha naweka heΔΊw hata iwe 500 ,accouts hizi haziingiliani na accounts za fedha kwenye simu
Watu wanalalamika mara hela yangu kwenye kibubu imechukuliwa na chuma ulete ,
Fungueni hizi accounts mtakuja kunishukuru
Ngoja nikuchekeshe kituKujiunga bundle wameweka lock?
Mnhu,nambieπNgoja nikuchekeshe kitu
Kuna wimbo mpya kaimba toxic wimbo unaitwa mwakani skiza verse ya kwanzaππNgoja nikuchekeshe kitu
Ngoja niusikilizeππKuna wimbo mpya kaimba toxic wimbo unaitwa mwakani skiza verse ya kwanzaππ
Mwakani buku ni 10mb
Kuna siku nimeenda casino Moja Iko posta.πππhakuna mahali pesa haitoki mkuu yani usiwe na shida labda
Uje kuleta mrehesho apaNgoja niusikilizeππ
ππππKuna siku nimeenda casino Moja Iko posta.
Niligongwa ad naenda kutoa bank Tena nikagongwa.ππ
Hizo mpower na kibubu ni sawa na mpesa na tigo pesa tu, kwamba ukihitaji kutoa ni unaingiza password mpunga unatoka, kama hauna nidhamu na hela haziwezi kukusaidia kitu