Tupe specs chief
Gari unyama sana hizi. Zina shika Barbara hatariYa mwaka 2022 South Africa niliona wanai promote
Zinatembea kinyama yaani.. sema Hela tuHuyu ndiyo Baba lao kwenye upande wa pick ups hiyo inajulikana.
Najua wababe hapa bongo watavuta hizi ndinga
Na Hilux unaiweka kundi gani in terms of reliability and maintenance.Huyu ndiyo Baba lao kwenye upande wa pick ups hiyo inajulikana.
Najua wababe hapa bongo watavuta hizi ndinga
Yesss ni kweli kabisaa kwenye upande wa reliability Toyota anaongoza Ila kwenye performance, handling na balance huyu VOLKSWAGEN AMAROK anaongozaNa Hilux unaiweka kundi gani in terms of reliability and maintenance.
Sisi wenye baby walker za Toyota kazi yetu ni kuwa wapole barabarani tukiwaona wanyawa kama hawaZinatembea kinyama yaani.. sema Hela tu
Wapenzi wengi wa pick up wana prefer reliability na easy maintenance kwa sababu nature ya pick up ni kazi na hapo ndio Toyota anapompiga baoYesss ni kweli kabisaa kwenye upande wa reliability Toyota anaongoza Ila kwenye performance, handling na balance huyu VOLKSWAGEN AMAROK anaongoza
Mzee mtu gani wa kawaida ananunua porsche? Ushaona inauzwa kwa madalali hio? Ofcourse its a properly built car. Its way out of kapukuz league hatuwezi compare humo.German cars are not reliable.
Labda uwe unaiongelea Pickup ya 2010.
Modern cars are delicate and sophisticated.View attachment 2286023
Unazungumzia Amarok pure sio 4motion.. hiyo 4 motion Kaa mbali na watotoAmarook anakaa chini mbele ya Revolution