2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 2 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285

Zimesalia Siku 2 kuelekea Hafla ya utoaji wa Tuzo za Stories of Change Msimu wa 4.

Septemba 21, 2024 maandiko bora yenye tija yaliyoangazia katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' ndani ya miaka 5- 25 yatazawadiwa.

Aidha Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kutuzwa kwa mchango wao mkubwa katika Majukwaa yetu ya Kidijitali usiku wa Septemba 21, 2024


Je, uko tayari kwa hiki kipya tunachokuletea?

Pamoja na kutangazwa kwa Washindi wa Maandiko Bora ya Msimu wa Nne wa Stories of Change na Waandaaji Bora wa Maudhui kutoka JamiiForums.com, kuna jambo jipya na la kipekee linakuja!

Uko tayari kwa hii 'surprise'? Hili halijawahi kutokea! Usiache kufuatilia ili usipitwe na lolote.
 
Aidha Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kutuzwa kwa mchango wao mkubwa katika Majukwaa yetu ya Kidijitali usiku wa Septemba 21, 2024❤📌🔨
 
Aidha Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kutuzwa kwa mchango wao mkubwa katika Majukwaa yetu ya Kidijitali usiku wa Septemba 21, 2024
Uko tayari kwa hii 'surprise'? Hili halijawahi kutokea! Usiache kufuatilia ili usipitwe na lolote.💪🏿
 
Kidogo hii inatia moyo na kufanya watu wateme madini japo kuna namna uongozi wa jf wanatakuwa warudishe hadhi ya jf ile ya mwaka 2015 kurudi nyuma kwani siku hizi kuna nyuzi ambazo ukisoma unabaki unasonya tu na inapelekea jf kushuka kiwango kidogo kidogo.
 
mhuu toeni rist ya washindi, basi make wengine huku PM zetu hazifunguki. mybe ni miongoni mwa washindi nitajuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…