2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 6 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 6 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
SOC Siku 6 Zimebaki.jpg

Hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inatarajiwa kufanyika siku Sita kutoka leo yaani Septemba 21, 2024.

Mwaka huu 2024, Washiriki wameonesha uwezo wa juu katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo, n.k.

Mbali na Washindi wa Maandiko Bora kupewa zawadi, pia baadhi ya Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kutuzwa kwa mchango wao mkubwa katika Majukwaa yetu ya Kidijitali.
 
Niandae suti kabisa......😊

Ntachagua na mtu mmoja humu wa kwenda nae mapumzikoni kwanza.
 
Back
Top Bottom