JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,229
- 5,285
SaveTheDate! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Stories of Change Msimu wa 4 inakaribia.
Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu’ zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo n.k.
Mbali na zawadi kutolewa kwa Washindi wa Maandiko Bora Usiku wa Septemba 21, 2024, Wazalishaji Bora wa Maudhui kutoka JamiiForums.com watatambuliwa na kutuzwa kwa mchango wao mkubwa katika Majukwaa yetu ya Kidijitali