JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,229
- 5,285
Septemba 21, 2024, tutayatambua Maandiko yaliyoibuka kidedea kwenye Shindano la Uandishi wenye Tija Mtandaoni la Stories of Change ambapo mwaka huu (2024) maandiko yalitoa mapendekezo kuhusu Tanzania Tuitakayo kwa Miaka 5 hadi 25 ijayo kwenye Sekta mbalimbali.
Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kupewa tuzo kwa mchango wao Mkubwa jukwaani.