2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 9 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 9 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
SIKU 9 SOC24.jpg

Septemba 21, 2024, tutayatambua Maandiko yaliyoibuka kidedea kwenye Shindano la Uandishi wenye Tija Mtandaoni la Stories of Change ambapo mwaka huu (2024) maandiko yalitoa mapendekezo kuhusu Tanzania Tuitakayo kwa Miaka 5 hadi 25 ijayo kwenye Sekta mbalimbali.

Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kupewa tuzo kwa mchango wao Mkubwa jukwaani.

 
Back
Top Bottom