2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 9 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285

Septemba 21, 2024, tutayatambua Maandiko yaliyoibuka kidedea kwenye Shindano la Uandishi wenye Tija Mtandaoni la Stories of Change ambapo mwaka huu (2024) maandiko yalitoa mapendekezo kuhusu Tanzania Tuitakayo kwa Miaka 5 hadi 25 ijayo kwenye Sekta mbalimbali.

Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui ndani ya JamiiForums.com watatambuliwa na kupewa tuzo kwa mchango wao Mkubwa jukwaani.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…