VDJ 4500cc dizel engine sio vumilivu na inahitaj nidhamu Lc watapoteza reputation yaoTayari kuna 1VD kama successor
Dunia ndio inaelekea huko mzeeWamezigua kuweka auto
Market za Africa HZJ IPO kama kawaida, changes ni Japan wanapata 1GD Auto badala ya 1GR Manual, Australia 1VD Manual au 1GD Auto (1GD ina nguvu kuliko 1VD Australia)vip kuhusu 1 HZJ
Stout wametoa toleo jipya 2024 ndo inaingia sokoni ina muonekano kama wa Ford RangerToyota IST ndo stori ya mjini kwa wasiopenda streess za mafutaaaa
Ivi Toyota Stout bado zipoo?
Toyota stout na land Rover 111 ndio gari zangu pendwaToyota IST ndo stori ya mjini kwa wasiopenda streess za mafutaaaa
Ivi Toyota Stout bado zipoo?
Ingependeza kama ingekuwa na gear box ya ManualBei za Toyota LandCruisers zenye uwezo wa 1VD zimepanda hivi karibuni wakati Toyota ilipotangaza aina ya 2024 LandCruiser 70 Series itakayoendeshwa na injini ya dizeli ya 1GD 2.8-lita yenye cylinder nne inayoungwa automatic gear box, lakini habari njema ni kwamba V8 inabaki kwa ajili ya wakati.
View attachment 2706180
View attachment 2706182
View attachment 2706183
Market za Africa HZJ IPO kama kawaida, changes ni Japan wanapata 1GD Auto badala ya 1GR Manual, Australia 1VD Manual au 1GD Auto (1GD ina nguvu kuliko 1VD Australia)
1GD naipenda Sana toka imetokagaBei za Toyota LandCruisers zenye uwezo wa 1VD zimepanda hivi karibuni wakati Toyota ilipotangaza aina ya 2024 LandCruiser 70 Series itakayoendeshwa na injini ya dizeli ya 1GD 2.8-lita yenye cylinder nne inayoungwa automatic gear box, lakini habari njema ni kwamba V8 inabaki kwa ajili ya wakati.
View attachment 2706180
View attachment 2706182
View attachment 2706183
2.8l lakini ina kifua balaa1GD naipenda Sana toka imetokaga
Ipo kwa baadhi ya Prado haswa kwanzia 2020 engine Ni moja TU 1GD japo 2015 ilianza tumika kwa Prado pia
2 hiace
3 hilux
4 coaster new model
5 Fortuner latest kwanzia 2016 nadhani 1GD Ni option
Na baadhi ya magari ...Ilianza na 180hp kwa Sasa inatoa 200+ hp
Ina nguvu kuliko 1HDT ..inalingana au kuzidi kidogo 1VD single turbo..kuhusu kudumu sijui
Sio mbaya wameiboost Sana2.8l lakini ina kifua balaa