Observer
JF HQ
- Oct 18, 2006
- 189
- 299
Wanabodi,
Leo kutakuwa na mdahalo wa kwanza kuelekea uchaguzi mkuu wa Marekani, November 2024.
Mdahalo huu utawahusisha mgombea wa urais kwa ticket ya Democrat, rais Joe Biden na mpinzani wake Donald Trump kutokea chama cha Republican
Mdahalo huu unatabiliwa kuwa wa moto kutokana na mambo mengi yanayotokea duniani kwa sasa (Vita ya Russia na Ukraine, mgogoro wa Gaza, Misimamo yao kuhusu Taiwan na China)
Mdahalo huo utaanza saa 10 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na utafanyika Atlanta
Mdahao huo umeandaliwa na CNN.
Anacholenga zaidi Trump: Trump anatoa sehemu kubwa ya maoni yake ya umma kwa malalamiko binafsi - akijibu madai yaliyokanushwa kwa muda mrefu ya udanganyifu katika uchaguzi wa 2020, akiwaona waliovamia Ikulu ya Marekani kama wazalendo, na kukemea mashtaka ya uhalifu anayokabiliwa kama ‘kazi za kisiasa’.
Washauri na washirika wa Trump wamemtaka rais huyo wa zamani kuzingatia masuala kama vile uchumi, uhalifu na mfumuko wa bei.
Suala la umri: Biden ni mzee mwenye umri wa miaka 81 na ndiye rais mzee zaidi wa Amerika. Trump ana miaka 78.
Sikiliza kupitia link hii
View: https://www.youtube.com/watch?v=-v-8wJkmwBY
Leo kutakuwa na mdahalo wa kwanza kuelekea uchaguzi mkuu wa Marekani, November 2024.
Mdahalo huu utawahusisha mgombea wa urais kwa ticket ya Democrat, rais Joe Biden na mpinzani wake Donald Trump kutokea chama cha Republican
Mdahalo huu unatabiliwa kuwa wa moto kutokana na mambo mengi yanayotokea duniani kwa sasa (Vita ya Russia na Ukraine, mgogoro wa Gaza, Misimamo yao kuhusu Taiwan na China)
Mdahalo huo utaanza saa 10 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na utafanyika Atlanta
Mdahao huo umeandaliwa na CNN.
Anacholenga zaidi Trump: Trump anatoa sehemu kubwa ya maoni yake ya umma kwa malalamiko binafsi - akijibu madai yaliyokanushwa kwa muda mrefu ya udanganyifu katika uchaguzi wa 2020, akiwaona waliovamia Ikulu ya Marekani kama wazalendo, na kukemea mashtaka ya uhalifu anayokabiliwa kama ‘kazi za kisiasa’.
Washauri na washirika wa Trump wamemtaka rais huyo wa zamani kuzingatia masuala kama vile uchumi, uhalifu na mfumuko wa bei.
Suala la umri: Biden ni mzee mwenye umri wa miaka 81 na ndiye rais mzee zaidi wa Amerika. Trump ana miaka 78.
Sikiliza kupitia link hii
View: https://www.youtube.com/watch?v=-v-8wJkmwBY