Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Kuna mbughi inaenda kuchezwa hapo July - Oct 2025.
Nchi inaenda kusimama kushuhudia kimbembe.
Wambea wa baa ile wanasema TL anamkabidhi kijana wa Kisukuma mwenye ushawish Lake zone kupeperusha bendera yao.
Hii siasa imeka mkao wa kibabe sana ukizingatia Mpina ni Team JPM damu damu.
Bado ukizingatia zaidi ushawish wa Kanda pendwa kwenye siasa za nchi yetu.
Bado kuna nafasi moja KK iliachwa na TL strategically ku absorb game changer
Kama huu umbea utatimia siasa zetu zitachangamka.
Tusubiri tuone.
Pia soma
Nchi inaenda kusimama kushuhudia kimbembe.
Wambea wa baa ile wanasema TL anamkabidhi kijana wa Kisukuma mwenye ushawish Lake zone kupeperusha bendera yao.
Hii siasa imeka mkao wa kibabe sana ukizingatia Mpina ni Team JPM damu damu.
Bado ukizingatia zaidi ushawish wa Kanda pendwa kwenye siasa za nchi yetu.
Bado kuna nafasi moja KK iliachwa na TL strategically ku absorb game changer
Kama huu umbea utatimia siasa zetu zitachangamka.
Tusubiri tuone.
Pia soma