2025 hamuwezi kuchukua nchi ila sakata hili limewafanya mtikise

Toka nilipoanza kuomba huu mkataba wa bandari na Mimi niusome , sijawahi kifanikiwa kuupata ,

Narudia tena mwenye mkataba wa bandari anitumie na Mimi niusome wakuu
 
Hawa ni tumbo FC, hawako kwa ajili ya maslahi ya nchi kwa matumbo yao pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…